Unknown Unknown Author
Title: JUMA NATURE ABADILI MAAMUZI YAKE YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA TEMEKE, JAPO AMESEMA ANAWEZA KUUPATA KIRAHISI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Juma Nature anaamini kuwa akiamua kugombe ubunge wa Temeke ataupata kirahisi. Nature ameiambia XXL ya Clouds FM kuwa alishafuatwa na baa...
Juma Nature anaamini kuwa akiamua kugombe ubunge wa Temeke ataupata kirahisi.
Juma Nature
Nature ameiambia XXL ya Clouds FM kuwa alishafuatwa na baadhi ya viongozi wamkita agombee nafasi hiyo. “Walishanifuata watu, lakini kwa mwaka huu nimeona kwanza nikaushe,” amesema Nature.

“Mimi mbona ubunge wa Temeke nakula, tena vizuri kabisa, bila hata matatizo. Kwa vyama mbalimbali siwezi kuvitaja, nimeacha kwanza akina Professor wachukue kwanza, lakini baadaye miaka mingapi usije ukashangaa nipo mjengoni, nimevaa suti kali,” aliongeza msanii huyo.

Nature alisema akiwa mbunge wa Temeke ataanza kushungulia miundo mbinu ya barabara pamoja na ujenzi holela ambao umekuwa ukisababisha mafuriko mara kwa mara.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top