Unknown Unknown Author
Title: JOKETI ATOBOA SIRI..!!! HASHEEM THABIT ALIKUWA MTAM KULIKO DIAMOND PLATNUMZ
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mrembo na Staa wa Bongo Movie Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kuwa katika mahusiano yake ya kimapenzi alitokea sana kumzimikia Hasheem Th...
Jokate na Hasheem
Mrembo na Staa wa Bongo Movie Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kuwa katika mahusiano yake ya kimapenzi alitokea sana kumzimikia Hasheem Thabit kuliko Wanaume wote aliowahi kutoka nao kimapenzi Bongo .

Akizungumza na Gazeti la Kiu hivi karibuni, Kidoti amesema kwa sababu ambazo amezihifadhi moyoni mwake Hasheem alikuwa na vitu adimu sana ambavyo hawezi kuvitaja.

Kuhusu Diamond ambae pia amewahi kutoka nae, Kidoti amesema haku enjoy nae kwani yalikuwa mapenzi ya muda mchache sana.
Chanzo. Bongo Movie

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top