BREANKING NEWS:: MSANII WA UCHESHI NCHINI TANZANIA AFARIKI DUNIA

Defender
Habari zilizotufikia hivi Punde zinadai kuwa Msanii wa Ucheshi ajulikanaye kwa Jina la Defender amafariki Dunia. Sababu ya Kifo chake bado Hatujakifahamu tunaendelea kufatilia na tutajuzana Hapa hapa Hivyo endelea kuwa nasi.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post