Title: BREAKING NEWS:: TIP TOP CONNESTION NA BONGO FLEVA ZIMEPATA HUU MSIBA MKUBWA LEO HII…
Author: Unknown
Rating 5 of 5
Des:
Tasnia ya burudani imepata pigo kwa mara nyingine baada ya aliyekuwa meneja na mwanzilishi wa kundi la Tip top connection Abdul Bonge kuf...
Tasnia ya burudani imepata pigo kwa mara nyingine baada ya aliyekuwa meneja na mwanzilishi wa kundi la Tip top connection Abdul Bonge kufariki dunia leo March 28.
Chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika endelea kuwa karibu na lindiyetu.com kwa taarifa zaidi.
Taarifa za kifo chake zimeanza kusambazwa leo March 28.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.