PICHA:: MWILI WA MAREHEMU MEZ B UMEPUMZISHWA KATIKA MAKABURI YA WAHANGA MJINI DODOMA LEO

Mazishi ya Mez B Dodoma
Pichani ni Mama mzazi wa Mez B akiwa ameshikiliwa na ndugu baada ya kuingia viwanja vya Mashujaa ili kutoa heshima za mwisho. Marehemu Mez B baada ya kuagwa na mashabiki wa mziki pamoja na ndugu jamaa na marafiki mwili wake ulielekea kupumzishwa katika makaburi ya Wahanga Maili mbili.
Mungu ailaze roho ya marehemu Mez B mahali pema peponi
Amin
Mazishi ya Mez B Dodoma
Baadhi ya wasanii waliohudhuria msiba huu wa Mez B wakiwa kwenye majonzi mazito
Mazishi ya Mez B Dodoma

Mazishi ya Mez B Dodoma

Mazishi ya Mez B Dodoma
Mtangazi wa Citizen TV anayejulikana kwa jina la Mzazi Willy Tuva akifanya mahojiano na msanii wa Bongo Fleva Janjaro.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post