Timu ya Yanga inafanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 3 - 0 dhidi ya Prisons,kupitia kwa magoli ya Msuva akimalizia kona za Andrey Coutinho dakika ya 3 na 63 huku Andrey Coutinho akifunga katika dakika ya 11.
Kwa matokeo haya Yanga wanakaa kileleni kwa pointi 28 huku Azam akishuka hadi nafasi ya 2 kwa pointi 26 baada ya kutoka sare dhidi ya ruvu shooting.
MSimamo wa Lgi kuu
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.