Linah amekiri kuwa tangu ayajue mapenzi, hajawahi kumpata mwanaume aliyempa mapenzi ya kweli.
Akiongea kwenye kipindi cha Funiko Base cha Radio 5, Linah ambaye hivi karibuni aliachia ngoma mpya ‘Hello’ aliyoshirikiana na Christian Bella amedai kuwa ndio maana amekuwa akiimba ujumbe kama huo kwenye nyimbo zake.
“Lakini sasa hivi nimepata mapenzi ya kweli,” amesema.
“Sijawahi kukaa kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka mitatu lakini sasa nimekaa kwenye mahusiano kwa miaka mitano,” ameongeza.
“Lakini sasa hivi nimepata mapenzi ya kweli,” amesema.
“Sijawahi kukaa kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka mitatu lakini sasa nimekaa kwenye mahusiano kwa miaka mitano,” ameongeza.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.