Ushindi huo umeipandisha Swansea hadi Nafasi ya 9 kwenye Ligi na kuhakikisha Southampton inabaki Nafasi ya 4 ikiwa Pointi 1 nyuma ya Manchester United.
Southampton pia walimaliza Mechi hii wakiwa Mtu 10 baada ya Mchezaji wao Ryan Bertrand kumchezea Rafu mbaya Modou Barrow na kutolewa kwa Kadi Nyekundu katika Dakika ya 89.
VIKOSI: Southampton: Forster, Clyne, Fonte, Yoshida, Bertrand, Reed, S. Davis, Ward-Prowse, Tadić, Elia, Pellè
Akiba: K. Davis, Gardos, Mané, Targett, Seager, Gape.
Swansea: Fabianski, Naughton, Fernandez, Williams, Taylor, Fulton, Carroll, Shelvey, Dyer, Emnes, Gomis
Akiba: Tremmel, Rangel, Amat, Barrow, Tiendalli, Oliveira, Grimes.
Refa: Michael Oliver
MATOKEO: Jumapili Januari 18
VIKOSI: Southampton: Forster, Clyne, Fonte, Yoshida, Bertrand, Reed, S. Davis, Ward-Prowse, Tadić, Elia, Pellè
Akiba: K. Davis, Gardos, Mané, Targett, Seager, Gape.
Swansea: Fabianski, Naughton, Fernandez, Williams, Taylor, Fulton, Carroll, Shelvey, Dyer, Emnes, Gomis
Akiba: Tremmel, Rangel, Amat, Barrow, Tiendalli, Oliveira, Grimes.
Refa: Michael Oliver
MATOKEO: Jumapili Januari 18
Arsenal 5 Aston Villa 0
Southampton 0 Swansea 1
Southampton 0 Swansea 1
MSIMAMO WA LIGI KUU YA UINGEREZA KWA SASA:-
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.