Unknown Unknown Author
Title: BAADA YA WOLPER KUZINGUA, MANAIKI ARUSHA NDOANO KWA UWOYA?
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Baada ya ishu yake yakutaka kumposa Wolper kugonga mwamba hii ni kwa mujibu wa magazeti ya udaku hapa bongo, mwigizaji machachali Manaik...
Manaik na Uwoya
Baada ya ishu yake yakutaka kumposa Wolper kugonga mwamba hii ni kwa mujibu wa magazeti ya udaku hapa bongo, mwigizaji machachali Manaiki Sanga ‘The Don’ usiku wa jana......

alitupia picha mtandaoni akiwa na mwanadada Irene Uwoya (Hiyo hapo juu) na kuwa “tag” mastaa kibao wa filamu wa hapa Bongo.

Hali hii ilisababisha watu wengi kuhoji kama Manaiki ameamua kumchumbia Irene baada ya Wolper kuzingua au nini?, maswali hayo hayakupata majibu lakini wapo baadhi walidai kuwa Manaiki kwasasa ana project mpya ya kutengeneza filamu ambayo itawashirikisha mastaa zaidi ya 30 wa hapa bongo, na hivyo basi Uwoya anaweza kuwa ni moja kati ya mastaa amabo watashiriki.

Tuendelee kusubiri, muda utaongea!!!.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top