Unknown Unknown Author
Title: UKATILI WAZIDI KUSHAMIRI NCHINI:: MWANAMKE AUA WATOTO WAKE NA KUWAIKA NDANI YA NYUMBA ANAYOISHI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Katika Hali isiyo yakawaida Mwananmke Mmoja Mkazi wa Kata ya Chemchem Mkoani Tabora ametiwa Nguvuni na Jeshi la Polisi Mkoani humo kwa Kos...
mauaji taboraKatika Hali isiyo yakawaida Mwananmke Mmoja Mkazi wa Kata ya Chemchem Mkoani Tabora ametiwa Nguvuni na Jeshi la Polisi Mkoani humo kwa Kosa la Mauaji ya watoto wake wawili ambao walikutwa wamezikwa ndani ya Nyumba anayoishi mwanamke huyo. 

mauaji tabora
Mama akiwa ndani ya Gari ya Polisi Baada ya Kutiwa nguvuni kwa kosa la mauaji

Tukio hilo la kukamatwa mwanamke huyo limetokea Leo hii, Sababu za Mauaji hayo imetajwa kuwa ni Ugumu wa maisha.


Mwanamke huyo yuko Chini ya Ulinzi wa Polisi wakati uchunguzi ukiendelea....!!!!
mauaji tabora

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top