Katika Hali isiyo yakawaida Mwananmke Mmoja Mkazi wa Kata ya Chemchem Mkoani Tabora ametiwa Nguvuni na Jeshi la Polisi Mkoani humo kwa Kosa la Mauaji ya watoto wake wawili ambao walikutwa wamezikwa ndani ya Nyumba anayoishi mwanamke huyo.
Mama akiwa ndani ya Gari ya Polisi Baada ya Kutiwa nguvuni kwa kosa la mauaji
Tukio hilo la kukamatwa mwanamke huyo limetokea Leo hii, Sababu za Mauaji hayo imetajwa kuwa ni Ugumu wa maisha.
Mwanamke huyo yuko Chini ya Ulinzi wa Polisi wakati uchunguzi ukiendelea....!!!!
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.