Haya ni madrasa na Nyumba za walimu pamoja na choo cha shule ya msingi Chihuta iliyopo kijiji cha Chihuta kata ya Mandwaanga wilaya ya Lindi vijijini jimbo la Mtma ambapo anatokea ndugu yetu Nape Moses Mnauye amabaye ametia nia ya kugombea ubunge jimbo la mtama.
Moja ya Madarasa katika Shule Hiyo
Shule hii imejengwa tangu mwaka 1972 lakini haina ukarabati wowote wa serekali, Jamani Viongozi Mliopata nafasi msisahau nyumbani.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.