Nyumba ya Daktari Zahanati ya Chihuta
Jengo la zahanati linakabiliwa na changamoto ya chumba cha kujifungulia akina mama wajawazito maana inafikia kipindi wakina mama wanajifungulia chini, pia inakkabiliwa na Upungufu wa wahudumu wa Afya kwani hivi sasa ina muhudumu mmoja anayefanya kazi zaidi ya masaa ishirini na nne na anakaa nyumba ambayo haina ukarabati wowote.
Hali iliyofikia nyumba hiyo haistahili kuishi mwanadamu, Serekali Inaombwa kuiangalia zahanati hii pamoja na makazi ya Mtuahuduma huyu, hii inaweza kutoa morali ya kazi kwa wahudumu wa afya kufurahia kufanya kazi katika kijiji hicho kwa asilimia 100.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.