Haya ni moja ya madarasa pamoja na choo ya shule ya msingi mnengulo yaliyopo kitongoji cha Mnengulo kijiji cha Simana kata ya Mnolela wilaya ya Lindi Vijijini Jimbo la Mtama ambaye Mh Bernard Kamilius Membe ndio mlezi wa shule Hii Ambayo ina vyumba Viwili Vya Madarasa.
Moja ya Darasa shule ya msingi mnengulo
Choo cha shule ya msingi mnengulo
Je kwa hali hii watoto watapata Elimu Bora au Bora Elimu?
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.