HII NDIO HALI HALISI ILIYOPO KATIKA KIWANDA CHA UCHAKATAJI WA GESI, MSIMBATI - MTWARA

Pwani ya Msimbati Yaharibiwa Vibaya na Mvua
Mikoa ya Mtwara na Lindi iko hatarini kuingia gizani kutokana na kiwanda kilichopo Msimbati kinachotumika kuchakata gesi inayotumika kufua umeme katika mikoa hiyo sehemu ya ardhi yake mita miamoja na sita, kumezwa na maji ya bahari na kubakia mita 25 kufika eneo la kiwanda. 

ANGALIA PICHA HABA CHINI::
Pwani ya Msimbati Yaharibiwa Vibaya na Mvua
Hiyo ni Mifuko inayotumiwa kuwekwa kwenye Kingo ilikuzuia Umomonyokaji wa Udongo kuendelea katika Ardhi hiyo iliyobaki M25 kufikia eneo la Kiwanda.
Pwani ya Msimbati Yaharibiwa Vibaya na Mvua
Wanajeshi wakiangalia Hali halisi ya Madhala yaliyotokea katika Kingo ya Pwani ya Eneo la Msimbati Mkoani Mtwara
Pwani ya Msimbati Yaharibiwa Vibaya na Mvua
Eneo la Pwani ya Msimbati KunakoChakatwa Gesi likionekana Kuharibika Vibaya kutokana na Mvua zinazoendelea Mkoani Humo.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post