Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba.
Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba amekimbizwa leo Hospitali ya UN Clinic ya Kinondoni, Dar, baada ya presha kushuka akiwa makao makuu ya Polisi kujibu shutuma za kuandamana jana.
Habari kamili itakujia hivi punde
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.