BREAKING NEWS: LIPUMBA AKIMBIZWA HOSPITALI AKIWA POLISI


Prof Ibrahim Lipumba.
Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba.

Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba amekimbizwa leo Hospitali ya UN Clinic ya Kinondoni, Dar, baada ya presha kushuka akiwa makao makuu ya Polisi kujibu shutuma za kuandamana jana.

Habari kamili itakujia hivi punde

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post