Unknown Unknown Author
Title: BREAKING NEWS: LIPUMBA AKIMBIZWA HOSPITALI AKIWA POLISI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba. Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba amekimbizwa leo Hospitali ya UN Clinic ya Kinondoni,...

Prof Ibrahim Lipumba.
Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba.

Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba amekimbizwa leo Hospitali ya UN Clinic ya Kinondoni, Dar, baada ya presha kushuka akiwa makao makuu ya Polisi kujibu shutuma za kuandamana jana.

Habari kamili itakujia hivi punde

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top