Basi la Maning Nice ambalo limetoka dar leo Kuelekea Masasi lagongana na gari dogo na kupoteza mwelekeo. Latumbukia bondeni katika kijiji cha Mkiu mapema asubuhi ya Leo, Katika ajali hiyo imesababisha vifo na majeruhi kadhaa....
Taarifa zaidi tutawaarifu
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.