VIDEO:: HIVI NDIVYO TIMU YA CHELSEA ILIVYO POKEA KICHAPO CHA KWANZA KUTOKA KWA NEWCASTLE

Newcastle Vs Chelsea
Mshambuliaji wa timu ya Newcastle, Pappis Cisse akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 57 kipindi cha pili dhidi ya Chelsea katika Uwanja wa St James' Park.
Newcastle Vs ChelseaPappis Cisse (kushoto) akifungia bao la pili timu yake ya Newcastle dakika ya 79.
Newcastle Vs Chelsea
Wachezaji wa timu ya Newcastle wakishangilia kwa pamoja
Newcastle Vs Chelsea
Kipa wa Newcastle, Jak Alnwick akiokoa moja ya mashambulizi ya Chelsea.
Newcastle Vs Chelsea
Mshambuliaji wa timu ya Chelsea, Drogba (katikati) akishangilia bao lake dakika ya 83

TAZAMA VIDEO HAPA

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post