MDAU AISHA KILONZO AMEREMETA, HONGERA SANA #teamlindiyetublog

Bi Aisha Kilonzo akiwa ame meremeta katika siku ya Ndoa yake iliyufungwa Tarehe 6/12/2014 Jijini Dar es salaam Maeneo ya Tabata. Hakika Ulipendeza. Lindiyetu.com Inakutakia kila lakheri katika Maisha yako ya Ndoa. MUNGU AWAONGOZE 
Bi Harusi akiwa na Mpambaji wake Shuu Saloon Iliyopo Temeke Pile Jijini Dar es salaam waweza Kumpata kwa Namba 0652281060
Kulia ndie Mume wa Bi aisha akiwa na Mpambe wake siku ya Ndoa yake na Bi aisha 
Bi Aisha akiwa na Mumewe pamoja na Wazazi wakiingia katika Ukumbi wakati wwa sherehe ya Ndoa yao iliyofanyika Tarehe 6/12/2014, Tabata na Dua kusomwa katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Jamhuri Jijini Dar es salaam 
Busu Zitto akipewa Bwana Harusi, Hakika ilikuwa siku ya Furaha 
Bi Aisha akiwa mwenye Furaha isiyo na Kifani 
ilikuwa ni Mwendo wa buku ten ten na Midolali na Ma Euro
Mr. and Mrs wakiwa katika Pozi 
Mr. Blogger akiwa katika Picha ya Pamoja na Bwana na Bibi Harusi

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post