Unknown Unknown Author
Title: @VanessaMdee Na @diamondplatnumz WAIBUKA KIDEDEA KATIKA TUZO ZA AFRIMA NCHINI NIGERIA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mtangazaji/Msanii Vanessa Mdee na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ wamewakilisha vizuri Tanzania kwa kushinda tuzo zingine kubwa Nigeria...
 Vanessa MdeeMtangazaji/Msanii Vanessa Mdee na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ wamewakilisha vizuri Tanzania kwa kushinda tuzo zingine kubwa Nigeria za AFRIMA.
 Vanessa MdeeVanessa ameshinda tuzo ya Best Female Artist in East Africa [Msanii bora wa kike Afrika Mashariki ] huku Diamond akishinda Tuzo Ya Best Male Artist in East Africa [Msanii bora wa kiume Africa Mashariki]
Peter MsechuTuzo ya Diamond ilipokelewa na Peter Msechu ambaye pia alikuwa kwenye kuwania tuzo hizo.
Hongera kwao

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top