Haya ndio matokeo ya Mtwara katika uchaguzi wa serikali za Mitaa,
Mitaa 111, CCM imeshinda 58 wakati upinzani umepata 53, CUF wamepata viti 34, Chadema 16, NCCR 4 na TLP 1.
Viongozi wa CCM wanasema kwamba kwa mara ya kwanza wamepata upinzani mkali mkoani humo na wanajipanga kuweka mambo sawa siku za usoni.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.