"Moja ya mfano mzuri tulionao Nchini...wakati anaanza kila mtu alimdharau na kumuona hatofika popote laikini leo hii Huwezi kuskia show kubwa inafanyika Nchini bila yeye Kuwepo...Dada zangu msikubali kuishi maisha ya kutegemea, Mbona mkijiamini wenyewe mnaweza... hivi hadi lini mtanyanyasika na Kuporwaporwa vitu baada ya Mahusiano kufa..Amkeni sasa! " #Sio_wanaake_wote Huu mzigo wake mpya #MALELE @shilolekiunoKuachana kwa Diamond na Wema kumetengeneza makundi tofauti tofauti kwenye mitandao ya Kijamii kiasi yakwamba wawili hao wakiandika chochote basi hudhaniwa/huchukuliwa kama kijembe.
Home
»
HABARI ZA WASANII
» MOVIE BADO LINASONGA:: JE POST HII YA DIAMOND NI KIJEMBE KWA ZILIPENDWA WAKE WEMA SEPETU..?
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.