Mkurugenzi wa Twanga Peteta ‘Asha Baraka’ anasema "Tayari wasanii wa twanga pepeta wakiongozwa na ‘Luiza Mbutu’ wameenda kutambua mwili hospitali ya mwananyamala na wamekuta ni Aisha, Taarifa kutoka Nyumbani kwake zinasema jana Aisha alikuwa mzima wa afya na hakuwa na tatizo lolote, tunaendelea kufuatilia”.
Aisha alifika hospitali ya Mwananyamala akiwa tayari ameshafariki.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.