PICHA YA SIKU:: WATOTO WAKISUKUMA KETE.

Kama kawa watoto na michezo kila siku, libeneke moja kwa moja kitaani na kuwanasa watoto wakisukuma kete kilingeni, kwa kucheza mchezo wa drafti ambao ni mchezo unao chezwa mara nyingi na watu wazima lakini leo mchezo huo umevamiwa na watoto.
Watoto wakicheza draft

watoto hawa wakidigitali bila shaka huwenda wakawa wana cheza kamchezo ka kubeti kwajinsi mashabiki wa wachezaji hao walivyo simama duu.
Watoto wakicheza draftmashabiki wakiwa makini na usukumaji wa kete wa wadau wao.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post