Shishi Baby akifanya mambo yake huku mashabiki wakiwa na midadi.
Msanii Shilole akiburudika vyema na dada yetu aliyekuja toka Norway kujumuika nasi katika kupata burudani ya Shishi Beibii.
Wachaa weeee.
\
Msanii Shilole akipata kumbukumbu ya picha
Shilole akiwa na Balozi wa Madagasca nchini Belgium
Shilole aliombwa saini na balozi wa Madagasca[Mnyamwezi umetishaaaaa] wakakutangazeeee.
Dili ikienda sawa Shilole kula donge nono,,,lini,wapi na saa ngapi Mungu ndio mjuzi,,,kaa mkao wa kula.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.