Shishi Baby akifanya mambo yake huku mashabiki wakiwa na midadi.
Wachaa weeee.
Msanii Shilole akipata kumbukumbu ya picha
Shilole akiwa na Balozi wa Madagasca nchini Belgium
Shilole aliombwa saini na balozi wa Madagasca[Mnyamwezi umetishaaaaa] wakakutangazeeee.
Dili ikienda sawa Shilole kula donge nono,,,lini,wapi na saa ngapi Mungu ndio mjuzi,,,kaa mkao wa kula.
Tags
HABARI ZA WASANII