Akikabidhi mchango wa saruji hiyo yenye thamani ya shilingi 320,000/= kwa mkuu wa wilaya ya Lindi, Dkt Nassoro Himidi, Mwenyekiti wa chama hicho Ahmad Namwadilanga. Alisema chama hicho kimechangia saruji hiyo kutokana na kuamini kwamba mpango huo unafaida kubwa katika sekta ya Elimu hasa katika somo la sayansi ambalo ni muhimu kwa karne hii ya sayansi na teknolojia.
Alisema kwakuwa taasisi hiyo niyakijamii na shule za sekondari zinazojengwa maabara ni za wananchi.Chama chake kimegawa sehemu ya faida inayotokana na biashara inayofanywa na chama hicho ili kuchangia ujenzi huo.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.