Unknown Unknown Author
Title: TAARIFA KAMILI YA KUJIVUA TAJI SITTI ABBAS MTEMVU, NA MRITHI WAKE HUYU HAPA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Sitti Abbas Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania 2014, Lilian Kamazima (aliyekuwa mshindi wa pili) amrithi! Sitti alikuwa anashutumiwa...
Miss Reds Tanzania 2014
Sitti Abbas Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania 2014, Lilian Kamazima (aliyekuwa mshindi wa pili) amrithi!

Sitti alikuwa anashutumiwa kwa kugushi vyeti na umri ili ashinde u-miss ambapo ilizua mjadala mkubwa kwenye huu uzi Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu. 

Miss Reds Tanzania 2014
Hata hivyo alikanusha habari hizo kwamba sio za kweli ambapo hata Hashimu Lundenga alimtetea kwamba hajagushi umri kwenye huu uzi Lundenga: Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu ni miss halali mwenye vigezo vyote.

HII HAPA NDIO BARUA YAKE ALIYOIANDIKIA KAMATI YA MISS TANZANIA
Barua ya sitti

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top