TAARIFA KAMILI YA KUJIVUA TAJI SITTI ABBAS MTEMVU, NA MRITHI WAKE HUYU HAPA

Miss Reds Tanzania 2014
Sitti Abbas Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania 2014, Lilian Kamazima (aliyekuwa mshindi wa pili) amrithi!

Sitti alikuwa anashutumiwa kwa kugushi vyeti na umri ili ashinde u-miss ambapo ilizua mjadala mkubwa kwenye huu uzi Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu. 

Miss Reds Tanzania 2014
Hata hivyo alikanusha habari hizo kwamba sio za kweli ambapo hata Hashimu Lundenga alimtetea kwamba hajagushi umri kwenye huu uzi Lundenga: Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu ni miss halali mwenye vigezo vyote.

HII HAPA NDIO BARUA YAKE ALIYOIANDIKIA KAMATI YA MISS TANZANIA
Barua ya sitti

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post