
Kanye ambaye anatoka mji wa Chicago atapewa tuzo hii pamoja na Wamarekani weusi kama Usher, Phylicia Rashad, John W. Thompson na Dr. Johnnetta B. Cole ambao pia wameleta mabadiliko kwenye business, maigizo, sanaa, muziki na technology.
Tuzo zitarekodiwa Jan. 24 nakurushwa Feb. 23 kwenye kituo cha BET.
Tags
HABARI ZA WASANII