Msanii wa Bongo Fleva ambaye hivi karibuni alikuwa kwenye ziara Afrika kusini na nchi zingine tatu za ulaya Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole ametoa wimbo mpya baada ya single yake ya Namchukua kufanya vizuri. Wimbo mpya wa Shishi unaitwa Malele na umeandikwa na Barnaba wa THT na umetengenezwa na Nahreel.
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.