BI JACKLINE AMEREMETA

Hapo Jana wadau waliweza Kumuaga Bi. Jackline ambae amefunga Ndoa Leo hii .......
Sherehe hiyo ya kuagwa ilifanyika katika Ukumbi Mmoja (jina kapuni) Manispaa ya Lindi na Kuweza kuhudhuliwa na wadau mbalimbali...


Hongera Jackline Seth Kuyenga kwa hatua muhimu katika maisha.......

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post