Unknown Unknown Author
Title: BAADA YA KUMALIZA"LA PROJECT" NCHINI GHANA, WEMA SEPETU ATUA NCHINI, CHEKI MAPOKEZI YAKE
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Staa Wema Sepetu ambaye alikuwa nchini Ghana akishoot filamu yake mpya akiwa na staa kutoka Ghana Van Vicker. Amereja nchini, Filamu hi...
Mapokezi ya Wema Sepetu

Staa Wema Sepetu ambaye alikuwa nchini Ghana akishoot filamu yake mpya akiwa na staa kutoka Ghana Van Vicker. Amereja nchini, Filamu hiyo ambayo itatoka siku za karibuni itaitwa Day After Death ambapo Wema na Van Vicker wameigiza kama mtu na mume wake.
Picha zingine za mapokezi ziko hapo chini
Mapokezi ya Wema Sepetu

Mapokezi ya Wema Sepetu

Mapokezi ya Wema Sepetu
Hii ni Picha mojawapo inayomuonesha Wema sepetu akiwa na Msanii Mwenzake walioshirikiana katika hiyo project wa nchi ya Ghana Van Vicker.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top