Staa Wema Sepetu ambaye alikuwa nchini Ghana akishoot filamu yake mpya akiwa na staa kutoka Ghana Van Vicker. Amereja nchini, Filamu hiyo ambayo itatoka siku za karibuni itaitwa Day After Death ambapo Wema na Van Vicker wameigiza kama mtu na mume wake.
Picha zingine za mapokezi ziko hapo chini
Hii ni Picha mojawapo inayomuonesha Wema sepetu akiwa na Msanii Mwenzake walioshirikiana katika hiyo project wa nchi ya Ghana Van Vicker.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.