Mkurugenzi wa taasisi ya Mkubwa na Wanawe, Yamoto Band na Wanaume Family, Said Fella amesema amejipanga kugombea ubunge wa jimbo Kigamboni, Dar es Salaam kwenye uchaguzi mkuu mwakani.
Fella amesema kujiingiza kwake kwenye siasa hakutaathiri shughuli zake za kusimamia wasanii na tayari amejiandaa kwa hilo.
“Mimi naendesha familia yangu nina maduka yangu na yanaenda vizuri, lakini bado nafanya muziki na unaenda vizuri. Kwa sababu maduka yangu nimefungua kabla hata muziki wa bongo fleva sijaujua na mpaka sasa hivi yapo. Wasanii wangu wa TMK wapo.
>>Bongo 5
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.