Hukumu ya kesi hiyo imetolewa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam chini ya Jaji Augustine Shangwa huku Sheikh Ponda akitetewa na Wakili wake Juma Nassoro.
Sheikh Ponda bado anakabiliwa na kesi ya uchochezi ya mkoani Morogoro hivyo alirudishwa Segerea mbali na kushinda kesi hiyo.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.