Unknown Unknown Author
Title: HII NDIO KAULI YA ZITTO KABWE KUHUSU WATU WANAOLALAMIKIA HATUA YA PAC DHIDI YA TPDC
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Muda mfupi uliopitta Mh. Zitto Kabwe ameeleza hisia zake juu ya watu wanao lalamikia uamuzi wa kamati ya PAC juu ya TPDC, Mh Zitto kupiti...
Zitto Kabwe
Muda mfupi uliopitta Mh. Zitto Kabwe ameeleza hisia zake juu ya watu wanao lalamikia uamuzi wa kamati ya PAC juu ya TPDC, Mh Zitto kupitia Page yake ya Facebook ameweza kueleza hisia zake hizo na Kusema haya hapa 
"Wanaolalamika kuhusu hatua zilizochukuliwa dhidi ya TPDC hawalalamiki kuhusu usiri wa mikataba na ubovu wake. PAC sio kamati lalamishi bali ni Kamati inayotenda.
Mamlaka ya Bunge kupata mikataba haihojiki wala haizuiliki"


About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

  1. Kamati nzima naipongeza na sio haka ka zito kalikoona huu ndo muda wa kupata ujiko na kuosha cv. Yaani haka kajamaa nisivyokapnda, yani kama ebora

    ReplyDelete

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top