"Wanaolalamika kuhusu hatua zilizochukuliwa dhidi ya TPDC hawalalamiki kuhusu usiri wa mikataba na ubovu wake. PAC sio kamati lalamishi bali ni Kamati inayotenda.
Mamlaka ya Bunge kupata mikataba haihojiki wala haizuiliki"
Post by Zitto Z Kabwe.
Fahari Ya Kusini
Kamati nzima naipongeza na sio haka ka zito kalikoona huu ndo muda wa kupata ujiko na kuosha cv. Yaani haka kajamaa nisivyokapnda, yani kama ebora
ReplyDelete