Unknown Unknown Author
Title: VIDEO FEDHEHA YA FUMANIZI: VIONGOZI WA A.C.K WAZUNGUMZIA MAADILI POTOVU MIONGONI MWA WACHUNGAJI, BAADA YA MCHUNGAJI KUFUMANIWA NA MKE WA MTU
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Viongozi wa Kanisa la A.C.K wamejitokeza kuyazungumzia madili potovu miongoni mwa wachungaji kufuatia kufumaniwa kwa mchungaji mmoja wa...
Viongozi wa Kanisa la A.C.K wamejitokeza kuyazungumzia madili potovu miongoni mwa wachungaji kufuatia kufumaniwa kwa mchungaji mmoja wa kanisa la ACK pumwani akiwa katika hali tata na mke wa wenyewe hotelini.wakati huo huo anayedaiwa kuwa mumewe mwanamke huyo amejitokeza kuelezea fedheha yake,akidai kutomhitaji tena mkewe. Jionee.


********************************************
LindiYetu.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani, Siasa, Michezo ya Africa na Nje, Tuwe pamoja huku pia >> Instagram Twitter Na Facebook

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top