VIDEO FEDHEHA YA FUMANIZI: VIONGOZI WA A.C.K WAZUNGUMZIA MAADILI POTOVU MIONGONI MWA WACHUNGAJI, BAADA YA MCHUNGAJI KUFUMANIWA NA MKE WA MTU

Viongozi wa Kanisa la A.C.K wamejitokeza kuyazungumzia madili potovu miongoni mwa wachungaji kufuatia kufumaniwa kwa mchungaji mmoja wa kanisa la ACK pumwani akiwa katika hali tata na mke wa wenyewe hotelini.wakati huo huo anayedaiwa kuwa mumewe mwanamke huyo amejitokeza kuelezea fedheha yake,akidai kutomhitaji tena mkewe. Jionee.


********************************************
LindiYetu.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani, Siasa, Michezo ya Africa na Nje, Tuwe pamoja huku pia >> Instagram Twitter Na Facebook

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post