Unknown Unknown Author
Title: BREAKING NEWS:- MTU MMOJA AFARIKI KATIKA TAMASHA LA #SERENGETIFIESTA SHINYANGA.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mwili wa mussa shija ukiwa kwenye chumba cha kuifadhia maiti kwenye hospitali ya mkoa wa shinyanga.  Vyanzo vya habari vimesema kuwa...
Mwili wa mussa shija ukiwa kwenye chumba cha kuifadhia maiti kwenye hospitali ya mkoa wa shinyanga. 

Vyanzo vya habari vimesema kuwa marehemu shija alifariki baada ya kupigwa na kitu kizito kichwani wakati akiwa kwenye tamasha hilo usiku wa ijumaa. Uchunguzi  wa kitaalamu umebainisha kwamba marehemu alipasuka fuvu la kichwa, tamasha hilo lilifanyika katika  uwanja mdogo wa kambarage Mjini Shinyanga.

Marehemu shija ni mkazi wa chibe manspaa ya shinyanga ametambuliwa na ndugu zake.
HIVI NDIVYO ILIVYO KUWA NDANI YA  UWANJA MDOGO WA KAMBARAGE UMATI HUU WA WATU WAKISELEBUKA PASIKUJUA YAJAYO

Chanzo:- shalleyhabari

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top