Mwili wa mussa shija ukiwa
kwenye chumba cha kuifadhia maiti kwenye hospitali ya mkoa wa shinyanga.
Vyanzo
vya habari vimesema kuwa marehemu
shija alifariki baada ya kupigwa na kitu kizito kichwani wakati akiwa kwenye tamasha hilo usiku wa
ijumaa. Uchunguzi wa kitaalamu umebainisha kwamba marehemu alipasuka fuvu
la kichwa, tamasha hilo lilifanyika katika uwanja mdogo wa kambarage Mjini Shinyanga.
Marehemu
shija ni mkazi wa chibe manspaa ya shinyanga ametambuliwa na
ndugu zake.
HIVI NDIVYO ILIVYO KUWA NDANI YA UWANJA MDOGO WA KAMBARAGE UMATI HUU WA WATU WAKISELEBUKA PASIKUJUA YAJAYO
Chanzo:- shalleyhabari
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.