
Basi linalofanya safari zake za kila siku kutoka Ruangwa Kwenda Dar es Salaam limepata ajali ya kuungua moto na kuteketea maeneo ya michenga Ruangwa Mkoani lindi Hivi leo.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Lindi amethibitisha Taarifa hii. Habari zaidi tutakuletea Hivi Punde.
Tags
HABARI ZA KITAIFA