Unknown Unknown Author
Title: BREAKING NEWS:: BASI LA BARAJI LAUNGUA MOTO JIONI HII
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Basi linalofanya safari zake za kila siku kutoka Ruangwa Kwenda Dar es Salaam limepata ajali ya kuungua moto na kuteketea maeneo ya mich...
lindiyetu news
Basi linalofanya safari zake za kila siku kutoka Ruangwa Kwenda Dar es Salaam limepata ajali ya kuungua moto na kuteketea maeneo ya michenga Ruangwa Mkoani lindi Hivi leo. 
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Lindi amethibitisha Taarifa hii. Habari zaidi tutakuletea Hivi Punde.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top