Basi linalofanya safari zake za kila siku kutoka Ruangwa Kwenda Dar es Salaam limepata ajali ya kuungua moto na kuteketea maeneo ya michenga Ruangwa Mkoani lindi Hivi leo.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Lindi amethibitisha Taarifa hii. Habari zaidi tutakuletea Hivi Punde.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.