Mwananchi mmoja aishie huko Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi Hapo juzi aliweza kumchoma Kisu Mwenzake na Kusababishia kifo na kukimbia kusikojulikana, Wananchi waliweza kufanya jitihada za makusudi za kumsaka mtuhumiwa huyo na leo kufanikisha kumkamata na kuweza Kumpa kichapo cha nguvu ambacho kimepelekea Kifo chake.
KWA HABARI NA PICHA TUTAKULETEA HIVI PUNDE, KAA NASI
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.