
Wanawake wa wilaya ya Kilwa leo wameandamana hadi kwa mkuu wa wilaya kupinga vitendo vya baadhi ya Masheikh wa kiislam wilayani humo kukataza kupiga Muziki (Rusha Roho)
Endelea kuwa nasi Tutakujuza nini kinaendelea Wilayani humo.
Ungana nasi Instagram kwa picha na stori zaidi
Tags
HABARI ZA KITAIFA