Unknown Unknown Author
Title: WAWILI WATIWA MBARONI KUHUSIANA NA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA:
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mgahawa uliolipuliwa na Bomu Jijini Arusha Baadhi ya watu waliojeruhiwa kwenye mlipuko wa bomu uliotokea jana usiku katika mgahawa w...
mlipuko jijini arusha
Mgahawa uliolipuliwa na Bomu Jijini Arusha
mlipuko jijini arusha
Baadhi ya watu waliojeruhiwa kwenye mlipuko wa bomu uliotokea jana usiku katika mgahawa wa Traditional Indian Cusine wakiwa wamelazwa katika hospitali ya Selian, jijini Arusha kwa matibabu.
mlipuko jijini arusha


mlipuko jijini arusha

mlipuko jijini arusha
WATU nane, wengi wao wakiwa ni wa asili ya Asia, wanahofiwa kujeruhiwa vibaya kwa bomu lililotupwa kwenye mgahawa uliopo eneo la Gymkhana jijini Arusha usiku wa kuamkia leo. 
mlipuko jijini arusha
Jeshi la Wananchi likishirikiana na Jeshi la Polisi wanachunguza chanzo cha bomu hilo.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top