
Habari zilizotufika Hivi punde zinaeleza kwamba
Balozi wa Libya Nchini Tanzania, Ismail Nwairat Amejiua ofisini kwake baada ya kujipiga Risasi kifuani.
Balozi Huyo alijiua jana Mchana Baada ya Kujifungia Ofisi za Ubalozi jijini Dar es salaam
Taarifa zaidi zitakujia hivi punde usicheze mbali na Lindiyetu.com
HABARI NYINGINE:: WEMA, AUNT EZEKIEL NA MARTIN KADINDA CHUMBA KIMOJA
Tags
HABARI ZA KITAIFA