Unknown Unknown Author
Title: BOB JUNIOR NAYE AFIKIRIA KUFANYA COLABO NA MSANII DIAMOND PLATNUMZ
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Msanii wa muziki na producer, Bob Junior amesema kuna uwezekano mkubwa wa kufanya kolabo na msanii aliyemtoa, Diamond Platnumz. Akizungum...
Bob Junior
Msanii wa muziki na producer, Bob Junior amesema kuna uwezekano mkubwa
wa kufanya kolabo na msanii aliyemtoa, Diamond Platnumz.

Akizungumza na Bongo5, Bob Junior aliyetayarisha nyimbo za Diamond zikiwemo ‘Kamwambie’ na ‘Mbagala’ amesema kwakuwa yeye ndiye aliyemtoa akiamua muda wowote wanaweza kufanya naye kazi.
“Kwa sababu nia bado ipo na sisi tupo hai hatuwezi kujua nini kitatokea, siwezi sema natamani ni kijana wangu ambaye nimemtoa mimi nikiamua siku nafanya naye nitafanya naye, haiwezi kuwa na ugumu,” amesema Bob Junior.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top