Muigizaji mkongwe nchini , Said Ngamba maarufu kwa jina la Mzee Small amefariki dunia usiku huu akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar . Mzee Small amefariki kwa ugonjwa wa
presha baada ya kuugua kwa muda mrefu kabla ya kuzidiwa jana na kupelekwa Muhimbili . Mtoto wa marehemu aitwaye , Muhidin amethibitisha kifo cha Mzee
Small.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA. AMEN !
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.