SAD NEWS :: MZEE SMALL AFARIKI DUNIA , TAARIFA KAMILI SOMA HAPA

Mzee small
Muigizaji mkongwe nchini , Said Ngamba maarufu kwa jina la Mzee Small amefariki dunia usiku huu akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar . Mzee Small amefariki kwa ugonjwa wa 
presha baada ya kuugua kwa muda mrefu kabla ya kuzidiwa jana na kupelekwa Muhimbili . Mtoto wa marehemu aitwaye , Muhidin amethibitisha kifo cha Mzee 
Small. 
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA. AMEN !

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post