Unknown Unknown Author
Title: MWAMUZI AFUNGUKA NA KUSEMA KUWA "NILITAMANI ENGLAND WACHEZE FAINAL WOLRD CUP MWAKA 1990"
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mwamuzi mstaafu kutoka Brazil Jose Roberto Wright ametoa siri aliyoificha kwa kipindi cha miaka 24 iliyopita. Wright anasema   ...
Jose Roberto Wright
Mwamuzi mstaafu kutoka Brazil Jose Roberto Wright ametoa siri aliyoificha kwa kipindi cha miaka 24 iliyopita.

Wright anasema  "Ilikiwa ni katika mchezo wa nusu fainali kati ya England na Ujerumani mjini Turin, Kuna wakati ndani ya akili yangu nilikuwa natamani itokee miujiza yoyote ili England iibuke na ushindi na hatimaye icheze na mwenyeji Italia".

Siyo ni kwa sababu babu yangu alitokea England!! hapana bali sababu ilikuwa ni kwamba iwapo England wangeshinda mchezo ule basi mimi ndiye ningepangwa kuchezesha mchuano ule kitu ambao Waitaliano hawakuwa wakikitaka kitokee.

Waitaliano hawakutaka hilo litokee kwa sababu katika fainali mbili za mwaka 1982/1986 ambazo zilichezeshwa na waamuzi toka Brazil walifungwa, katika mchezo huo England ilitupwa nje ya mashindano baada ya kupoteza mikwaju miwili ya penati.

Wright anasema "Ndoto yangu ya kuchezesha mchezo wa fainali ilizimwa na yule mchezaji wa England aliyekuwa na nywele za mbaya mbaya [Chris Waddle] baada ya kukosa penati ya mwisho".

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top