DIAMOND NA WEMA NDANI YA JUKWAA MOJA LA KILI MUSIC TOUR SONGEA, CHEKI JINSI WALIVYO KAMUA

Diamond akiburudisha wakaazi wa Songea katika uwanja wa Majimaji
Wakazi wa SOngea wakipiga shangwe za kutosha kwa Burudani kali iliyokuwa ikidondoshwa na Mkali wa Afro Pop Diamond Platnumz Ndani ya Uwanja wa Maji Maji mjini Songea katika Show ya Kili Music Tour
Msanii Diamond Platnumz akiimba pamoja na Ma Fans wake wakati wa Kili Musc Tour Mjini Songea 
Ulalaaaaa....!!! Madam Onstage... Lah Ilikuwa ni Noumer sana......

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post