
Diamond akiburudisha wakaazi wa Songea katika uwanja wa Majimaji

Wakazi wa SOngea wakipiga shangwe za kutosha kwa Burudani kali iliyokuwa ikidondoshwa na Mkali wa Afro Pop Diamond Platnumz Ndani ya Uwanja wa Maji Maji mjini Songea katika Show ya Kili Music Tour

Msanii Diamond Platnumz akiimba pamoja na Ma Fans wake wakati wa Kili Musc Tour Mjini Songea

Ulalaaaaa....!!! Madam Onstage... Lah Ilikuwa ni Noumer sana......
Tags
HABARI ZA WASANII