Unknown Unknown Author
Title: TEAM WEMA YA HUKO INSTAGRAM YAMUIBUA CLEMENT HADHARANI, ALIYEKUWA MPENZI WA WEMA SEPETU NA SASA KAJALA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Huko Instagram Kumenuka ni kuhusu ugomvi unaoendelea wa Kajala na Wema Sepetu, na kati hayo yote alitajwa Clement kuwa ndiye muhusika na a...
clement
Huko Instagram Kumenuka ni kuhusu ugomvi unaoendelea wa Kajala na Wema Sepetu, na kati hayo yote alitajwa Clement kuwa ndiye muhusika na aliweza kutembea na Marafiki wawili Kajala na Wema Sepetu,  kutoka insta huyo ndiye Clement Kigogo wa ikulu aliyefaidi penzi la Wema Sepetu na La Kajala. Akaunti moja iliyopo insta ambayo ni team wema imefungunga kuhusu kajala na huyu Clement na hivi ndivyo ilivyosema

Nanukuu "huyu hapa ndio kigogo wa ikuruu jina lake kamili ni clement kihondo aka CK anafanya kazi katika ofisi ya raisi kitengo cha ndege ya MH.raisi JK na aliwahi kuwa muhasibu wa raisi na sehemu anayo fanyia kazi iko posta karibu na bandarini duniani hakuna siri clement ulijua utajificha mpaka lini...nili promic kuwa nitakupata n leo nimekuonesha kuwa ninauwezo wa kukupata...mshenzi mmoja ww unae haribu watoto wawatu...unamke na watoto mkeo anabaa yake dodoma karb na bungeni unashindwa mpa pesa mkeo afungue hotel ya 5 stars...watu kama kama ww ni wakuchomwa moto hamfai kwenye dunia yetu wala nchi yetu mshenzi mmoja ww...afu nikupe taarifa nina file lako loteeeee na ujue kama najua ulimpeleka@new_kajala china akanunue vifaa vya studio...jamn tukubali tukataee this man his sexual abusing women yani hupati kazi kwake unless ulale naeee ss wananchi tunajituma kwa nguvu zetu afu mijitu mingine inapita kunenepeana kwa kula malinza serikari yetu tena ww clement ushukuru mh mrema ametolewa katika hicho kitengo zenzi ya nyerere ungekuwa unasota jera ss hv...sio siri huwa nachefukwa sanaaa na watu kama hawa mbaba mzima badala ya kulea familia yako unakazi kupita kuangaika na watoto wadogo mshenzi mbwa mkubwa ww na najua leo accnt yangu utaifunga ila nkuoe taarifa sijar cz nitafungua nyingine......jamani jamn picha ya clement ndio hiyo hapa kitu na proveeeee....msiondoke bado naendelea baadae more tu come cz sio watu mnaonge vitu msivyo vijuaaaa clement huo ni mwanzoooooooooo"

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top