Diamond Platnumz Katika mahojiano yake aliyoyafanya wiki mbili zilizopita katika Kituo kimoja cha Radio Mkoani Mtwara alifunguka Juu ya Kufunga Ndoa na Mpenzi wake wa Siku nyingi Wema Sepetu napia alizungumzia Kuhusiana na Kutoamini mambo ya Kishirikina katika Kazi zake kwani yeye Anafnya juhudi ndio maana anafanikiwa na si kitu Kingine katika hilo.
Msikilize mwenyewe hapa akizungumzia mambo hayo::
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.