Unknown Unknown Author
Title: MANENO MAZURI KWA WAPENDANAO, SOMA HAPA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
"Hakuna wa kututenganisha, nakupenda sana malikia wa moyo wangu, tulipotoka ni mbali, na tunapokwenda ni mbali zaidi, ahadi yangu ni...
"Hakuna wa kututenganisha, nakupenda sana malikia wa moyo wangu, tulipotoka ni mbali, na tunapokwenda ni mbali zaidi, ahadi yangu ni kukupenda milele katika maisha yangu nakupenda sana chaguo la moyo wangu"
******************************************************************
"Nimekupenda na nitakupenda hadi mwisho wa maisha yetu, siwezi kuishi kwa furaha bila wewe, nakupenda sana mpenzi wewe ni nyota katika maisha yangu, siwezi kuona mbele bila wewe, tushikamane na tupendane milele"
*****************************************************************
Moyo wangu unafurahi sana unapokuwa karibu yangu, napenda sana sauti yako nzuri inapotamka kuwa unanipenda kwani mapigo yangu huenda kasi kwasababu hisia zangu juu yako ni zaidi ya kila kitu nakupenda na nitakupenda milele"

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top