IMANI ZA KISHIRIKINA ZATAWALA KATIKA MAKAZI YA WANACHUO MTWARA, CHEKI HAPA

Wanachuo wanaoishi katika Hosteli za Stella Maris Manispaa ya Mtwara Mikindani wameonyesha hali ya Kuto jiamini katika mambo yao kwa kusadikiwa kujishirikisha katika Mambo ya Kishirikina katika makazi yao hayo.


Katika Pita pita za Mwandishi wetu alikutana na Kituko hichi cha Kukuta Nazi zilizovunjwa zikiwa zimechorwa chorwa maandishi ambayo ni kama ya Kiarabu.
Hata hivyo mwandishi huyo alishindwa kuongea na wahusika kuzungumzia tukio hili kwani walionekana kuwa bize sana.
Kupitia Blog hii tunatoa ushauri kwa wanajamii wote kutokuwa na Iman za Kishirikina katika Mambo yako, Ongeza juhudi katika Jambo lako na Utafanikiwa Tu.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post