Wasanii wanaounda kundi la muziki la mafikizolo kutoka Afrika ya Kusini.
Miongoni mwa vipengele walivyoshinda ni pamoja na album ya mwaka, kundi bora. Wasanii wengine waliopata tuzo hizo jana usiku ni pamoja na Zahara, Kabomo, Nakhane Toure, Ifan Big Nuz, Micasa muziki na wengine.
Tags
HABARI ZA WASANII
