Unknown Unknown Author
Title: BARNABA KUREJEA TANZANIA NA GITAA JIPYA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Msanii Barnaba akiwa na Gitaa mpya. Msanii mwenye sauti ya pekee nchini Tanzania ambaye ametokea nyumba ya vipaji nchini Tanzania (TH...
Msanii Barnaba akiwa na Gitaa mpya.

Msanii mwenye sauti ya pekee nchini Tanzania ambaye ametokea nyumba ya vipaji nchini Tanzania (THT) maarufu kama Barnaba yupo mbioni kurejea nchini mara baada ya kutimkia Marekani siku chache zilizopita.
Gitaa mpya alilolinunua nchini Tahiland.

Kupitia ukarasa wake wa Instagram Barnaba ameandika kwamba anatarajia kurejea nchini na zawadi ya gitaa la kisasa alilolinunua nchini Thailand. Ameongeza kwamba limemgharimu pesa nyingi japokuwa hakutaja kiasi husika alichonunulia.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top